SHUBHA YA KURITADI KWA MASWAHABA
Mashia wanadai kuwa Maswahaba waliritadi baada ya kufa Mtume Muhammad na hakuthubutu katika uislamu ila wachache na katika hoja yao hiyo wanaitolea dalili aya ya Mwenyezi Mungu aliyetukuka: وما محمدٌ إلا رسول قد خلت من ق




